Salaam
Yaleyale Mimi ni muuzaji wa magari mzoefu.
Kwa taarifa fupi hio uliyoitoa hapo juu, nimepata picha kua unapoishi mpaka kuifikia rami ni njia mbovu, napia nimegundua unahitaji gari iliyokwenye chati na ambayo ni imara na comfortable bila kusahau mwenendo wake wa mafuta.
Kanuni ya kwanza kwenye Biashara ni kumuweka MUNGU MBELE hii inaondoa tamaa, ambapo muuzaji hua huru kumuacha mteja achague mwenyewe baada ya kueleza ukweli halisi wakile
anachohitaji
MURRANO :
Nissan murrano ni.gari nzuri, yakisasa na ndani ipo comfortable sana, muundo wake ni mzuri ndani hadi nje (interiors and exteriors) na ikiwa kwenyebrami inatulia na mwendo mwanana sana, inshort ni gari nzuri, sana lakini ni (luxury)
Means huwezi ipeleka barabara zote (offroad)
PRADO :
Hii ni gari nzuri mno, ijapokua uzuri wake ndani unaweza usiwe kama murrano (inategemea na mtazamo wako) lakini ni gari yenye ubora wa hali ya juu mno, inakwenda barabara zote engine yakeinanguvu, na ni rafiki wa ainazote za mazingira ya barabara na pia body yake ni ngumutofauti na murrano.
Kikubwa zaidi, availability na hata namna ya utengenezaji, prado haipo complicated sana engine yake kama hizi murrano.
So kwa ushauri wangu, prado inakufaa zaidi kwa mazingira ya barabara ya unapokaa na pia ni gari ya heshima kwa watu wa rika zote (vijana kwa wazee inafit)
Hivyo, kazi ni kwako
Ikiwa utapenda Mimi nikuuzie, kati ya prado ama murrano (Kulingana na choice yako ), karibu inbox tujadiliane naweza kukuletea kwa bei nzuri tutakayo kubaliana!
Karibu sana!