Msaada prease. Ni muda gani unashauliwa kwa mama mjamzito kuacha kushiliki tendo la ndoa

TOTS SHALO

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
152
Reaction score
25
Natumai mko poa waugwana binafisi nashidwa kujua nimuda gani mama mjamzto anashauliwa kuacha kushiliki tendo la ndoa na kama ataendelea nimadhala gani yanaweza kutokea kwa mama au kwa mtoto.
 
mimi napenda sana kuandika kiswahili ili nisiaibike. mia
 
mpaka siku anaenda kujifungua! hakuna madhara yeyote bali tu usimchoshe!
 
Tendo la ndoa halina madhara yeyote kwa mja mzito katika umri wowote wa mimba. Tahadhari ni kwa wenye matatizo ya afya kama kutokwa na damu au kutokwa na maji yanayomzunguka mtoto tumboni(liquor amnii). Tahadhari nyingine ni ukubwa wa tumbo,inabidi kutafuta style ya kushiriki tendo kupunguza maumivu tumboni mwa mama.
 
Kwani ukivumilia mkuu mpaka mkeo ajifungue utakosa nini au shemeji mwenyewe ndio anataka muendelee?Vumilia miezi 9 akishajifungua weka miezi 6 ya kunyonyesha then muanze hayo machejo yenu!
 
Unless mama mjamzito alionesha dalili za mimba kutishia kutoka (hasa miezi za mwanzo), hakuna shida yoyote kuendelea na shughuli. Just go easy on her.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…