Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,804
- 10,715
Wakuu mimi na mdau mwenzangu wa mambo ya mifugo tuna wazo la biashara ambalo limeshafanyiwa yale yote yanayohitajika ikiwa ni pamoja na vibali kutoka taasisi husika. Kinachokwamisha utekelezaji ni mtaji tu. Tunatafuta mdau aliye tayari ku-inject cash ili tuweze ku-take off. Karibuni.