John kirua
Senior Member
- Dec 7, 2021
- 140
- 107
Habari ndg zangu naomba msaada wa kupata ramani ya chumba 1 choo na sehemu ya jikoni tafadhali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ramani nzuri mkuu ila wakija wageni hapo watalazimika waingie chumbani ndipo waende chooni.View attachment 3080827
Kula chuma hicho mkuu, dimensions za ndani fundi anakukadilia tu.
Yah anafanya tu adjustment hapo anbadili mwelekeo wa mlango wa choo, Halafu huwezi weka choo na jiko ndani af usiweke sitting room utakaa wapi.Ramani nzuri mkuu ila wakija wageni hapo watalazimika waingie chumbani ndipo waende chooni.
Haijakaa poa hiyo.
Pia hiyo ramani ina sitting room jamaa hajasema kama anaihitaji.
Unless aipunguze ibaki chumba choo na hiyo sitting room ataimodify itoke na jiko hapo hapo.
AsanteView attachment 3080827
Kula chuma hicho mkuu, dimensions za ndani fundi anakukadilia tu.
SALAMA ? NAHITAJI RAMANI YA FREMU YA BIASHARA AMBAYO INATAKIWA KUWA YA FLOOR NA PICHA JINSI MUONEKANO WAKE BAADA YA KWISHA IWE NDANI YA SM 20View attachment 3080827
Kula chuma hicho mkuu, dimensions za ndani fundi anakukadilia tu.
Mimi sio "Injinia" boss.SALAMA ? NAHITAJI RAMANI YA FREMU YA BIASHARA AMBAYO INATAKIWA KUWA YA FLOOR NA PICHA JINSI MUONEKANO WAKE BAADA YA KWISHA IWE NDANI YA SM 20
INJINIA HACHORIMimi sio "Injinia" boss.
HAPANA NIMEOMBA ENEO LA SERIKALI WAMENITAKA NIWEKE NA RAMANIHicho tu hadi ramani? We nenda site fundi atakuchorea chini.....
Karamani kazuri ukipata eneo ukavije ga viiingi ukapangisha si chini ya 100k kwa mwezi,ila naona ni bora kuongeza chumba cha wattView attachment 3080827
Kula chuma hicho mkuu, dimensions za ndani fundi anakukadilia tu.
UNLIKE THE STOMACH,BRAIN DOESN'T SAY OR ALERT WHEN IT IS EMPTYHicho tu hadi ramani? We nenda site fundi atakuchorea chini.....
Sijui kizungu bro, maana yake niniUNLIKE THE STOMACH,BRAIN DOESN'T SAY OR ALERT WHEN IT IS EMPTY
BAD GIRL GONE GOODSijui kizungu bro, maana yake nini
biashara gani na floor ngapi?SALAMA ? NAHITAJI RAMANI YA FREMU YA BIASHARA AMBAYO INATAKIWA KUWA YA FLOOR NA PICHA JINSI MUONEKANO WAKE BAADA YA KWISHA IWE NDANI YA SM 20