Mkuu;
Riba za benki ni public information isipokuwa pale zitakapokuwa attached kwenye mkopo.
Benki kuu imekuja na ulazima wa mabenki ku-publish charge mbali mbali mojawapo no hizo riba za mikopo. Huwa kuna publications za kila robo mwaka kwenye magazeti; kuanzia robo ya pili ya mwaka huu ni lazima machapisho hayo yaambatane na mahesabu, tozo na ada mbali mbali za benki husika na faini ambazo benki imetozwa na benki kuu katika robo mwaka iliyopita