Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 50
Wakuu,
Nina Toyota Premio f niliagiza kutoka Japan mwaka jana mwishoni. Gari imekuja na rim size 14 na nikipita barabara ya vumbi kuna wakati inagonga sana chini, kwenye mlango wa dereva kwa pembeni kuna hizi options zimeandikwa kama inavyoonekana kwenye picha niliyoambatanisha hapa(Pamoja na tafsiri yake kwenye Kiingereza kwa kutumia google lens)
Hapo kwenye picha upande wa tyre size naona kuna options 2
Issue ya pili ni Huo upande wa Tyre pressure naona hapo front wheel imeandikwa 230 na na rear wheel 200, je kwa wataalamu hii ina maana gani? Maana nilienda kucheck upepo kwenye kituo Fulani cha mafuta wakaniambia mbele inatakiwa 30 na nyuma 35 ndo wakaweka hiyo. Hii imekaaje isije ikawa naweka upepo ambao sio sahihi kulingana na maelezo.
Asanteni sana.
Nina Toyota Premio f niliagiza kutoka Japan mwaka jana mwishoni. Gari imekuja na rim size 14 na nikipita barabara ya vumbi kuna wakati inagonga sana chini, kwenye mlango wa dereva kwa pembeni kuna hizi options zimeandikwa kama inavyoonekana kwenye picha niliyoambatanisha hapa(Pamoja na tafsiri yake kwenye Kiingereza kwa kutumia google lens)
Hapo kwenye picha upande wa tyre size naona kuna options 2
- 185/70R14 88S na
- 195/65R15 91S
Issue ya pili ni Huo upande wa Tyre pressure naona hapo front wheel imeandikwa 230 na na rear wheel 200, je kwa wataalamu hii ina maana gani? Maana nilienda kucheck upepo kwenye kituo Fulani cha mafuta wakaniambia mbele inatakiwa 30 na nyuma 35 ndo wakaweka hiyo. Hii imekaaje isije ikawa naweka upepo ambao sio sahihi kulingana na maelezo.
Asanteni sana.