Kununua rim tu ya pikpiki unaanzisha uzi, ukimiliki gari sijui itakuwaje mkuu hahah, nenda Fanya research ya maduka ya vifaa vya pkpk nenda kaulizie duka zaidi ya moja ukiona bei zinafanana au kukaribiana bc ujue ndo bei yake hujapigwa.
Sent using
Jamii Forums mobile app