Msaada: Rough idle, engine and exhaust vibration.

Msaada: Rough idle, engine and exhaust vibration.

Nelson muna

New Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
4
Reaction score
10
Habari wadau , Nina gari yenye engine ya 1zz ina tatizo la engine kutetemeka na rough idle sana sana ikiwa silence au slow speed, pia exhaust ina tetemeka mpaka inagusana na body.
Nilienda kwa fundi akafanya;

1. Kusafisha fuel filter.
2. kubadili spurk plug
3. kusafisha nozzle.
4. kubadilsha engine mount moja iliyokufa.

Badaa ya hayo marekebisho vibration imepungua tu lakn bado shida iko pale pale.

Note:
1.Exhaust nilibadilisha baada ya wahuni kukomba catalyst converter.
2. Plug nimefunga k16R-u11 sina uhakika kama ni genuine.
3. Hakuna kiashiria chochote kwenye dashboard kama kuna shida.

Je, kuna shida gani naomba ushauri.

Asante
 
Habari wadau , Nina gari yenye engine ya 1zz ina tatizo la engine kutetemeka na rough idle sana sana ikiwa silence au slow speed, pia exhaust ina tetemeka mpaka inagusana na body.
Nilienda kwa fundi akafanya;

1. Kusafisha fuel filter.
2. kubadili spurk plug
3. kusafisha nozzle.
4. kubadilsha engine mount moja iliyokufa.

Badaa ya hayo marekebisho vibration imepungua tu lakn bado shida iko pale pale.

Note:
1.Exhaust nilibadilisha baada ya wahuni kukomba catalyst converter.
2. Plug nimefunga k16R-u11 sina uhakika kama ni genuine.
3. Hakuna kiashiria chochote kwenye dashboard kama kuna shida.

Je, kuna shida gani naomba ushauri.

Asante

Kama Misfire inatokea wakati gari ipo sailensa au low speed basi 90% misi inasababishwa na air leak. Japo kwa uhakika zaidi ni kupima.

Misi ya spark au mafuta huwa haiwi hivo. Ukikwama kabisa kusolve nicheck 0621 221 606

Ukikwama kusolve ishu yako
 
1zz ni cylinder 4. Kama ingekuwa misi ya coil isingekuwa inatokea tu kwenye sailensa au low speed.
Bwana Mkubwa heshima yako.
Naomba Uelewa tu japo haihusini kabisa na Topic hii.

Naomba kujua Maji kwenye gari ya Kupoza injini, Je yanatakiwa yaonekane kwa Macho unapofungua tu Mfuniko yaani yawe Juu kabisa Pomoni ama nitajuaje yamo?
Nina kagari kangu naona muda wote sioni Maji Juu, nikijaza Mpaka Juu, kesho nachek nakuta hayaonekani, naongeza tena.
Sasa najiuliza ni Leakage au Normal kwa kutojua tu.

Pia Maji kidogo yanavujia kwa Juu Mfuniko gari ikiwashwa, kwa muda tena yanakata yana rangi kama ya Kijani yanapotoka ila ukigusa na Kuangalia Mkononi unaona tena hayana rangi.



Tafadhali Mtaalam ufahamu kwenye hilo. Ahsante.
 
Bwana Mkubwa heshima yako.
Naomba Uelewa tu japo haihusini kabisa na Topic hii.

Naomba kujua Maji kwenye gari ya Kupoza injini, Je yanatakiwa yaonekane kwa Macho unapofungua tu Mfuniko yaani yawe Juu kabisa Pomoni ama nitajuaje yamo?
Nina kagari kangu naona muda wote sioni Maji Juu, nikijaza Mpaka Juu, kesho nachek nakuta hayaonekani, naongeza tena.
Sasa najiuliza ni Leakage au Normal kwa kutojua tu.

Pia Maji kidogo yanavujia kwa Juu Mfuniko gari ikiwashwa, kwa muda tena yanakata yana rangi kama ya Kijani yanapotoka ila ukigusa na Kuangalia Mkononi unaona tena hayana rangi.



Tafadhali Mtaalam ufahamu kwenye hilo. Ahsante.
Kuna leakage bila shaka hata mie napata hilo tatizo kwa sasa! Mwanzo maji yalikuwa yapo level tu yani ukifungua mfuniko tu unayaona!

Na ukitaka kuamini hilo anza ku monitor reservior ya maji! Ikianza kupoteza maji kila siku inakuwa empty jua kuna mahali maji yana leak!
 
Uliwahi kupunguza silencer au kuongeza? mara nyingi ukishusha sana inapelekea injector kurusha mafuta kdgo ambayo yanafanya compression kutokwenda smooth ukizingatia pia ni 4 cylinders.
 
Back
Top Bottom