msaada: s6 edge inasoma emergence calls only

msaada: s6 edge inasoma emergence calls only

mind bringer

Senior Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
170
Reaction score
51
Tatizo ni nini hapa wakuu toka jana mchana network haisomi kwa sim yang inaandika emergence calls only msaada kwa anaejua
NB: nimeangalia imei za simu yangu.

Screenshot_20200930-085240.png
zimebadilishwa sio kama za mwanzoni.
 
tayal nmeattach

Uko mkoa gani? Hiyo simu umenuna mtaani sasa cha kufanya unatakiwa umuone fundi simu aliyekaribu yako ili aweze ku patch network upyaa kwa kifaa maalumu.

Nimeona hapo imei status ni NG inatakiwa iwe OK na kuiweka OK mpaka kwa kifaa maalumu so muone fundi simu aliyekaribu mwenye ujuzi na samsung.

Ungekuwa mkoa niliko ningekufanyia kazi.
 
Uko mkoa gani? Hiyo simu umenuna mtaani sasa cha kufanya unatakiwa umuone fundi simu aliyekaribu yako ili aweze ku patch network upyaa kwa kifaa maalumu.

Nimeona hapo imei status ni NG inatakiwa iwe OK na kuiweka OK mpaka kwa kifaa maalumu so muone fundi simu aliyekaribu mwenye ujuzi na samsung.

Ungekuwa mkoa niliko ningekufanyia kazi.
so brow hata nkitumia MTK Engineering mode haitasaidiaaaaa
 
Uko mkoa gani? Hiyo simu umenuna mtaani sasa cha kufanya unatakiwa umuone fundi simu aliyekaribu yako ili aweze ku patch network upyaa kwa kifaa maalumu.

Nimeona hapo imei status ni NG inatakiwa iwe OK na kuiweka OK mpaka kwa kifaa maalumu so muone fundi simu aliyekaribu mwenye ujuzi na samsung.

Ungekuwa mkoa niliko ningekufanyia kazi.
itaweza cost ngap brow maana nawajua hawa mafund usipoenda na bei elekezi
 
so brow hata nkitumia MTK Engineering mode haitasaidiaaaaa

Kwenye samsung org achana kabsa na mtk engeering, sababu samsung nyingi ni qualcomm pia hiyo mtk engeering sasa hivi haifanyi kazi kwenye hizi mtk latest. Labda upate copy phone za china
 
Tumia ZX3 tool, reset EFS itakaa sawa
 
Back
Top Bottom