mind bringer
Senior Member
- Oct 19, 2017
- 170
- 51
Tatizo ni nini hapa wakuu toka jana mchana network haisomi kwa sim yang inaandika emergence calls only msaada kwa anaejua
NB: nimeangalia imei za simu yangu.
zimebadilishwa sio kama za mwanzoni.
NB: nimeangalia imei za simu yangu.