mind bringer
Senior Member
- Oct 19, 2017
- 170
- 51
tayal nmeattachBonyeza *#0011# kisha tupatie picha tuone
SM-G925F
tayal nmeattach
so brow hata nkitumia MTK Engineering mode haitasaidiaaaaaUko mkoa gani? Hiyo simu umenuna mtaani sasa cha kufanya unatakiwa umuone fundi simu aliyekaribu yako ili aweze ku patch network upyaa kwa kifaa maalumu.
Nimeona hapo imei status ni NG inatakiwa iwe OK na kuiweka OK mpaka kwa kifaa maalumu so muone fundi simu aliyekaribu mwenye ujuzi na samsung.
Ungekuwa mkoa niliko ningekufanyia kazi.
Mtk? Hii si ni chipset ya tecno, itel na chinese versionso brow hata nkitumia MTK Engineering mode haitasaidiaaaaa
daah!!!ur advise mkuuMtk? Hii si ni chipset ya tecno, itel na chinese version
itaweza cost ngap brow maana nawajua hawa mafund usipoenda na bei elekeziUko mkoa gani? Hiyo simu umenuna mtaani sasa cha kufanya unatakiwa umuone fundi simu aliyekaribu yako ili aweze ku patch network upyaa kwa kifaa maalumu.
Nimeona hapo imei status ni NG inatakiwa iwe OK na kuiweka OK mpaka kwa kifaa maalumu so muone fundi simu aliyekaribu mwenye ujuzi na samsung.
Ungekuwa mkoa niliko ningekufanyia kazi.
so brow hata nkitumia MTK Engineering mode haitasaidiaaaaa