madam boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 701
- 742
Habari warembo
Kwa mwenye kufahamu sabuni, na mafuta ambayo hayachubui kwa ajili ya uso na ngozi kwa ujumla, naomba anifahamishe,
Kwani uso wangu unamafuta mengi na kupelekea Kuwa na vichunusi vidogovidogo .
Na visiwe vya gharama saaana. Kwani vyuma vimekaza [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa mwenye kufahamu sabuni, na mafuta ambayo hayachubui kwa ajili ya uso na ngozi kwa ujumla, naomba anifahamishe,
Kwani uso wangu unamafuta mengi na kupelekea Kuwa na vichunusi vidogovidogo .
Na visiwe vya gharama saaana. Kwani vyuma vimekaza [emoji16][emoji16][emoji16]