nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,512
wakuu habari zenu, nilikuwa napita mtandaoni ghafla nikakutana na huu mtandao Numista unatumika kuuza sarafu za mataifa mbalimbali hususani zile za miaka ya nyuma kidogo. Sasa binafsi nikakumbuka kumbe nina hazina ya sarafu chache naambatatisha hapa chini. Je hizi sarafu nikienda Benki kuu naweza kuzibadili kwa reasonable price au niendelee kuziweka ndani tu???