Foffana
JF-Expert Member
- Oct 29, 2022
- 861
- 1,547
Habari zenu Wakuu
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam, Mwalimu Nyerere Main Campus.Ninaomba msaada wa kupata eneo la kufanyia mafunzo kwa vitendo kwa kozi ya Economics and Statistics
Msaada wako unaweza kuwa wa kuniunganisha moja kwa moja au hata kunielekeza sehemu ambazo huwa wanapokea wanafunzi wa field
Ahsanteni sana na Niwatakie siku njema
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es salaam, Mwalimu Nyerere Main Campus.Ninaomba msaada wa kupata eneo la kufanyia mafunzo kwa vitendo kwa kozi ya Economics and Statistics
Msaada wako unaweza kuwa wa kuniunganisha moja kwa moja au hata kunielekeza sehemu ambazo huwa wanapokea wanafunzi wa field
Ahsanteni sana na Niwatakie siku njema