Msaada sh 1,000,000 inatoshaa kupataa vifaa hv

james bendui

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2015
Posts
693
Reaction score
690
Msaada wana jf mm nipo njee ya dar es salaam ila na ndugu yangu yp dar ss nin milion mojaa natakaa nimuagizee vitu hivii hp kwa sababuu sn ozoefuu navyo na wala sijuii aina ipii ni nzuri na hata kujuaa bei sijui kwa anayejua zaid ningeombaa anisaidieee wan jf wenzangu
Frijiii nzurii inayowezaa kitengeneza ubaridi kwa harak, ovenaa ya kuoka mkate inayotumia gas na umeme km ipo na Brenda ya kutengenez juicee ambayo ni imara zaid na kubwa kdg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…