Msaada: Shaving cream nzuri ya sehemu za siri

Ubavu

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2012
Posts
2,790
Reaction score
3,263
Wakuu,

Nimepata kibarua kizuri cha kumnyoa msichana wangu sehemu nyeti , Huyu mdada hawezi hata kushika wembe kukata kucha zake and so mdada huyo ajawahi kunyoa maeneo hayo toka nywle zianze kumuota.

Sasa siwezi kumnyoa hivi hivi bila ya kutumia shaving cream kama ninavyojinyoa mimi mwenyewe kwa vile sitaki akumbane na adha kama ninayoipata Mimi (mapere na kuwashwa )!

So nimekuja kwenu mnitajie shaving cream nzuri na side effect zake ( kama zinawasha or others) ili nimuandae kisaikolojia. Nitashukuru kama mtanitajia na maduka ninayoweza kuzipata kirahisi.

Na pia kwa wale wataalamu wa kunyoa wapenzi wao naomba mnitajie challenges zozote mlizowahi kukumbana nazo wakati wa zoezi hilo!

Natanguliza shukrani zangu kwenu wakuu wangu.

Ubavu
 
Hebu subiri kwanza hajawahi kunyoa toka ameanza kuota nywele mtumeee anaishije anyway ngoja tusubirie hizo shavin cream
 
Hebu subiri kwanza hajawahi kunyoa toka ameanza kuota nywele mtumeee anaishije anyway ngoja tusubirie hizo shavin cream

We acha tu yaani nmeukuta msitu mzito !
 
DURAK KREM is the best..hiyo akipaka anakaa dk 10 anaenda kuoga zinatoka zenyewe
 


Hapo kwenye RED, tuwekee picha
 

OCCUPATION: STUDYING
kumbe ndio maana....!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…