msaada sheria mifuko hifadhi za jamii

msaada sheria mifuko hifadhi za jamii

mng'oa kucha

Senior Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
150
Reaction score
179
Nilikuwa nafanya kazi katika shirika fulani, na salary slip yangu ilikuwa inasomeka kama ifuatayo gross salary 200000, transport allowance 100000,medical allowance 100000,house allowance 100000.mwajiri alikuwa ananiwekea michango yangu ya pension asilimia kumi ya gross yaani shilingi elfu ishirini kisha nami nachangia elfu ishirini na kufanya jumla ya michango ya pension kwa mwaka kuwa elfu arobaini...halafu wanachukua gross salary +allowance zote tatu ambaye inaleta jumla ya shilingi laki tano ambazo wanazikata P.A.Y.E.....nimepata kazi katika shirika lingine ambapo nalipwa mshahara (gross) kiasi cha shilingi laki sita, jumlisha transport allowance laki na arobaini, nakufanya jumla ya shilingi laki saba kabla ya makato, kisha wananichangia pension 10% ya gross + allowance yaani shilingi elfu 74 na mimi wananikata elfu 74....kisha wanachukua tena laki saba na arobaini halafu wanailima P.A.Y.E swali langu ni kati ya hawa waajiri wawili ni yupi yuko sahihi kuhusu michango ya pension?
 
Nilikuwa nafanya kazi katika shirika fulani, na salary slip yangu ilikuwa inasomeka kama ifuatayo gross salary 200000, transport allowance 100000,medical allowance 100000,house allowance 100000.mwajiri alikuwa ananiwekea michango yangu ya pension asilimia kumi ya gross yaani shilingi elfu ishirini kisha nami nachangia elfu ishirini na kufanya jumla ya michango ya pension kwa mwaka kuwa elfu arobaini...halafu wanachukua gross salary +allowance zote tatu ambaye inaleta jumla ya shilingi laki tano ambazo wanazikata P.A.Y.E.....nimepata kazi katika shirika lingine ambapo nalipwa mshahara (gross) kiasi cha shilingi laki sita, jumlisha transport allowance laki na arobaini, nakufanya jumla ya shilingi laki saba kabla ya makato, kisha wananichangia pension 10% ya gross + allowance yaani shilingi elfu 74 na mimi wananikata elfu 74....kisha wanachukua tena laki saba na arobaini halafu wanailima P.A.Y.E swali langu ni kati ya hawa waajiri wawili ni yupi yuko sahihi kuhusu michango ya pension?

Hapo kwenye red nadhani ulimaanisha kwa mwezi.
Tukirudi kwenye swali lako.
  • Mwajiri wa kwanza ujanja aliofanya ni kuweka gross salary kiwango kidogo, ili katika pension yako alipie kidogo, Hivyo pension yako kuwa ndogo mwishoni mwa ajira yako.
  • Mwajiri wa pili yuko safi, Sababu anachangia kiasi kikubwa, yaani asilimia 10 ya laki 6, kwa mwezi.
Hesabu rahisi ni hii asilimia 10 ya laki 2 Vs asilimia 10 ya laki 6, mfano kwa miaka mitano wapi wewe kama mwajiriwa utanufaika zaidi baada ya kuacha kazi?, Nadhani hapo jibu unalo.
 
Asante kaka kwa marekebisho na kujitahidi kujibu, ingawa jibu lako liko so obvious...swali langu liko pale pale sheria inasemaje, ukatwe gross + allowances au ukatwe gross minus allowances? Kwani P.A.Y.E wao hukata gross + allowances ...kifupi ni kwamba nimefanya kazi miaka kadhaa kwa huyu mwajiri wa kwanza ila pension nimekuta ni kidogo sasa nataka nijue kama mwajiri huyu wa kwanza alikuwa ananionea au huyu wa pili ananipendelea....si unajua haya makampuni ya hawa jamaa zetu wenye asili ya kiasia msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom