Msaada sheria ya Ardhi (kifungu husika)

Amyner

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
2,396
Reaction score
882
Habari wandugu,

Naomba wanasheria mnisaidie kama kuna kifungu chochote katika sheria ya ardhi kinachosema mtu anapouziwa eneo ni lazima kati ya mashahidi wawe watu wanaopakana na muuzaji.

Pia naomba kama kuna mtu ana contact ya mwanasheria mzoefu wa maswala ya migogoro ya ardhi ani pm contact za huyo mwanasheria.

Asanteni.
 
Ndugu, hakuna kifungu chochote katika sheria zinazohusu masuala ya ardhi au katika sheria yeyote ile inayotaka mtu akiuziwa eneo ua kuuza eneo lazima awe na mashahidi wa aina flani au wangapi.
 
Ndugu, hakuna kifungu chochote katika sheria zinazohusu masuala ya ardhi au katika sheria yeyote ile inayotaka mtu akiuziwa eneo ua kuuza eneo lazima awe na mashahidi wa aina flani au wangapi.

Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…