Mimi nilikuwa naomba msaada wa Sheria ya kuomba kupewa barua ya utambulisho kuwa ulishafanya kazi kwenye kampuni uliyoacha kazi, au kuachishwa kazi kwa kusingiziwa kuwa mfanyakazi umeiba na huku hajafanya hicho kitendo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.