Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole Mkuu kwa kudhulumiwa haki zako.
kwa mujibu wa sheria ya kazi kibarua ni ndani ya miezi sita tu!! ukizidisha hata siku mmoja unatakiwa ukarepot kwenye vyombo husika vya kazi na sheria!!
ila fanya hivyo kama una uhakika na kama kuna mkataba uliopewa kimaandishi kuwa wewe ni kibarua halali na una kitambulisho.
Unaweza kupoteza kazi yako bure, sometime ni bora uendelee kuwa kibarua kuliko kufungua kesi. Boss anaweza akahonga halafu wewe ukakosa hata kibarua chako,
Kazi ni kwako mkuu kama upo tayari kujilipua jilupue tu , na ukilianzisha balaaa jua moto utawaka kweli kweli
Halafu mfano umefanikiwa wakakupa shavu hapo ofisini kwa lazima, dah sipati picha ofisi nzima wanakuchukia kwa kuwafungulia mashtaka, hawakawii kukutafutia sababu ufukuzwe kazi. ukichelewa ofisini hata sekunde moja tu unakuta barua ofisini.
Mi nakushauri uongee na wahusika hapo ofisini wakushauri ni jinsi gani utaweza kupata kazi hapo, waeleze kuhusu uzoefu na miezi sita kuwa imefika,ila wasijue kama unataka HAKI.
CHEERS mkuu!!!
hello JF
kwa mujibu wa sheria za kazi hapa TZ inabidi kibarua anaweza kufanya kazi kwa muda gani bila ya kuajiriwa na kukatiwa bima (nssf na nk.)
maana nahisi kama napoteza haki zangu