Msaada: Shule nzuri ya private Arusha mchepuo wa HGK

C.Thady

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2015
Posts
589
Reaction score
154
Wadau kuna huyu MTU anatafuta shule ya private Arusha nzuri yenye combi ya HGK ada sio tatizo msaada tafadhali.
 
Aende Ilboru..hiyo ndo shule pekee Arusha..nyingine zote atakutana na wahuni hadi achanganyikiwe.
 
Aende Ilboru..hiyo ndo shule pekee Arusha..nyingine zote atakutana na wahuni hadi achanganyikiwe.

Sawa ni shule pekee lakini hiyo iliboru unayoisema wewe haina arts Mkuu
 
ipo sanawari unapita njia ya sanawari ukitokea trafic light ya sanawari,n shule nzur wengi wametokea hapo mm mwenyewe n mmojawapo na leo n graduate

OK Mkuu ngoja niifuatilie
 
Mkuu shule iko vizuri ila sheria za shule za wanafunzi kubanwa sana ili wasitoke nje ya shule ndo watu wanaogopa,ila 4 a seriouz studend dvzn one nje nje mkuu!
 
Wadau shule nzuri ni makumira tu usihangaike kwenda kwingine utajuta pia ukiona pamejaa nenda enaboishu pia ni nzuri bishop hakuna kitu mkuu
 
Wadau shule nzuri ni makumira tu usihangaike kwenda kwingine utajuta pia ukiona pamejaa nenda enaboishu pia ni nzuri bishop hakuna kitu mkuu

OK Mkuu
 
Wadau shule nzuri ni makumira tu usihangaike kwenda kwingine utajuta pia ukiona pamejaa nenda enaboishu pia ni nzuri bishop hakuna kitu mkuu

Yah enaboishu ni nzuri na pia ina maadili kuliko hiyo bishop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…