the best private school in arusha for A-level(arts) BISHOP DURNING,ENAIBOSHU,EDMUNDRICE,MAKUMIRA,ARUSHA MERU,BONDENI,ARUSHA MODERN,ELISHAMA, MORINGE NA WINNING SPIRIT
St.Amedeus
kwa arusha shule kongwe za a level ambazo ni nzuri ni enaboishu na makumira na ni za bweni kwa upande wa day ziko arusha meru na bondeni hizi pia ni kongwe na walimu wazuri.... Edmund rice ni nzuri kwa masomo ya sayansi...
Bishop durning, arusha modern, mairiva, mukidoma huko ni full usanii ila ka unahitaji center tu maelekezo tu... Arusha seminary, usa seminary, st .jude ni nzuri ila kuzipata ni kazi
nb. Kwa wasichana kuna ngarenaro girls "kwa babu"
Ngarenaro imehamia Kisongo, Jaffery pia ni Nzuri ila mazingira fulani.. Elishama hapo sijakusomangarenaro now n chuo kikuu cha saut tawi la arusha na elishama iko njiro na cyo shule ya watoto,vp jaffery high school
Kwa Arusha Shule kongwe ZA A level ambazo Ni Nzuri ni Enaboishu na Makumira Na ni za bweni kwa upande wa Day ZIKO Arusha Meru na Bondeni hizi pia ni kongwe na Walimu wazuri.... Edmund Rice ni Nzuri kwa masomo YA Sayansi...
Bishop Durning, Arusha Modern, Mairiva, Mukidoma huko ni full usanii ila ka unahitaji center tu maelekezo tu... Arusha Seminary, Usa Seminary, St .jude ni Nzuri ila kuzipata ni kazi
NB. Kwa wasichana kuna Ngarenaro Girls "Kwa babu"
Mkuu St.Jude cnasikia huwaga wanaangalia na mazingira uliyotoka
Kazingira flani kivipi tena mkuu?
Yeah ni Hivyo ila wakiwa wanahitaji wanaita ila uwe Una marks Nzuri sana! Mwaka Juzi waliita A level students... Pia kuna moja iko Ngaramtoni design hiyo YA Jude inaitwa Sijui st. Nini ni mpya Ina A level pia