Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 228
Kaa nae,umueleze kwa system ya elimu ya TZ,hiyo combination anayotaka itakuja kumbana kwenye machaguo ya kozi chuo kikuu
Na inawezekana target yake ni urubani,pia kaa nae mjadiliane na muangalie kama mnaweza kumudu kumsomesha katika vyuo binafsi,although hata PCM inaweza kumlead kwenye urubani katika mitaala ya nchi za wenzetu
hata PCM inaweza kumlead kwenye urubani katika mitaala ya nchi za wenzetu
Hapa sijaelewa vizuri, kama hili linawezekana inatakiwa hii PCM akasomee huko au anaweza kuisoma hapa na akapata chuo huko chenye kumwezesha kusomea masomo ya urubani. Nisaidie tafadhali
Hiyo PCM anaweza kuisoma hapa hapa nyumbani na kule akaenda kusomea urubani,kuna vyuo vingi outthere vinavyotambulika hapa kwetu aweza kwenda na kusoma..Kuna vijana wengi wa kiTZ wapo Russia na South Africa ,wengine wamesoma Mzumbe na wanafanya vizuri tu kule
ifunda girls bonge la xkul kwa hyo comb na ifunda technical
Nashukuru mkuu kwa mchango wako.
Hebu kaa na mwanao umshaur kma mzazi PGM then aje awe nani nchi hii kwa ushaur mwambie apige PCB
Wadau heshima mbele..
Naomba kujuzwa shule nzuri ya wasichana ambayo wanafundisha Combination ya PGM. Binti yangu amefaulu vizuri Form IV na ufaulu wake unamuwezesha kusoma PCM au PGM.
Kwa sasa amepata shule yenye PCM lakini yeye anapenda sana kusoma PGM. Naomba msaada wa ushauri kwani napenda asome course anayopendelea.