Hivi mimba ya wiki moja au mbili inaweza kuonekana kwenye ultrasound? Then, hii ipoje..
Baada ya mwanamke kupitiliza siku zake kadhaa za hedhi anaamua kupima mimba then kipimo(UPT)kinaonesha positive ila baada ya masaa anaingia period kwa maumivu makali na kupitiliza siku (badala ya kubleed siku zake 5 kawaida anaenda hadi siku 7) ,
Je, ni nini? inawezekana ilikuwa ni mimba ikaharibika au ni kawaida hutokea vipimo kuonesha +ve mwanamke akikaribia period?
Hiyo imeishaharibika hivyo bas pole sanaana jaribu tena kupachika nyingine. Ila ukipima itaonesha ipo hivyo hamna haja ya kupima labda baada ya mwez mmoja waweza pima kuhakiki.
Mm iliwahi kunitokea nilikaa miezi miwibila kuingia kwenye period kitu ambacho ilikiwa nikawaida kuwa hivyo. Nikaumwa na tumbo cjawahi kuumwa. Nilipoenda spitali hawakunipima UPT. wakanipa tu dawa basi, damy ikaendelea kutoka kwa wiki mbili mbele, nilivorudi hospitali nyengine kunipima wakaniambia ilikuwa ni mimba. Ni kweli itakuwa ilikuwa ni mimba iyo