AfricaUnited
JF-Expert Member
- Jul 31, 2010
- 2,367
- 1,293
mimi niliappeal mkopo semista iliyopita na nimepata. sasa niliokuwa naomba kujuzwa je nitapewa hela kuanzia semista ya pili tu au watanipa na laki mbili stationery ambayo sikupewa? maana nimesikia eti wanatoa mpaka za nyuma ambazo hawakunipa na stationary pia ambayo hawakunipa ya semista ya kwanza.maana sijafungua chuo bado sijajua information zaidi, waliopo chuo ndio wameniangalizia jina na kwenye majina hawajaspecify vizuri.
thanks mkuu chuo palikuwa pagumu kidogo kifedha na kimasomo basi ni kazi.Hongera kwa kupata mkopo
thanks mkuu chuo palikuwa pagumu kidogo kifedha na kimasomo basi ni kazi.
mimi niliappeal mkopo semista iliyopita na nimepata. sasa niliokuwa naomba kujuzwa je nitapewa hela kuanzia semista ya pili tu au watanipa na laki mbili stationery ambayo sikupewa? maana nimesikia eti wanatoa mpaka za nyuma ambazo hawakunipa na stationary pia ambayo hawakunipa ya semista ya kwanza.maana sijafungua chuo bado sijajua information zaidi, waliopo chuo ndio wameniangalizia jina na kwenye majina hawajaspecify vizuri.
oky thanks mkuu umenifumbua macho.mkuu kumbe ulukosaga mkopo...!daah hongeraa kwa kupata nw..,kuhusu fedha utalipwa yoote hadi ya semista ya kwanza...!
shavuu mkuu...!
hamna mkuu,kama unasababu maalum labda huna mzazi mmoja alafu hawakukupa wanakupa.mfano mimi kunavithibitisho nikaambatanisha(nimelelewa na mzazi mmoja na o level nilikuwa nadhaminiwa nikapeleka barua) na wakanipa.zaidi Namshukuru Mumgu maana maisha ya chuo gharamawengne tuliambiwa mkopo hautoshi
nashukuru kwa kunielewesha ila nakomaa tu sitakata tamaa bwanah maisha yanaitaji mpijanaji,thnks bro kwa kunipa moyo na kuniondoa uogahamna mkuu,kama unasababu maalum labda huna mzazi mmoja alafu hawakukupa wanakupa.mfano mimi kunavithibitisho nikaambatanisha(nimelelewa na mzazi mmoja na o level nilikuwa nadhaminiwa nikapeleka barua) na wakanipa.zaidi Namshukuru Mumgu maana maisha ya chuo gharama
oky thank mkuu life ni lapiganaji,wanaokata tamaa wanatoka kwenye gemu..."survival for the fittestnashukuru kwa kunielewesha ila nakomaa tu sitakata tamaa bwanah maisha yanaitaji mpijanaji,thnks bro kwa kunipa moyo na kuniondoa uoga
Tumia vizur
haya kaa utulie! na sio kuanza safari za KAHUMBA
Hongera kwa kupata mkopo
Tumia vizur
Hongera kwa kupata mkopo