Msaada: Siwezi kupata access ya WhatsApp account yangu

Msaada: Siwezi kupata access ya WhatsApp account yangu

Joined
Aug 15, 2024
Posts
5
Reaction score
4
Habari wakuu, nimepata changamoto baada ya kuinstall whatsapp kutoka playstore. Na ni official application ila inaniandikia hivi.

Screenshot_2024-10-09-08-03-20-18.png


Sasa wakuu naombeni msaada wenu. Na hata nikienda kwenye hiyo website yao, nikipakua app inaniletea taarifa hiyo hiyo.
 
Hoja sio oppo ninayo na ninaishi pia,kwa sasa whatsap mambo ya simu kua rooted au bootloader kua unlocked ndio sababu za msingi ,kikubwa ingia play store pakua app ya play integrity app checker kisha ifungue ,ikikuletea vema zote tatu simu itakubali whatsap na kinyume chake ,pia tumia cpu z kujua simu kama imechokonolewa
 
Hoja sio oppo ninayo na ninaishi pia,kwa sasa whatsap mambo ya simu kua rooted au bootloader kua unlocked ndio sababu za msingi ,kikubwa ingia play store pakua app ya play integrity app checker kisha ifungue ,ikikuletea vema zote tatu simu itakubali whatsap na kinyume chake ,pia tumia cpu z kujua simu kama imechokonolewa
Na kama imechokonolewa ndo haiwezekani kutumia wasap
 
Back
Top Bottom