Msaada;Soko la Mahindi

Stanboy

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2013
Posts
1,114
Reaction score
1,308
Habari ndg zangu wana jf?

Mimi ni mkulima mdogo lakini pia ninafanya biashara tofauti tofauti,katika kujipanua zaidi nina mpango wa kuanza biashara ya kununua mahindi kutoka kwa wakulima na kuyauza sehemu zenye soko zuri linalolipa,

Hivyo ningependa wenye uelewa na biashara hii pamoja na soko lake wanijuze,

Tusaidiane ndg zangu,
Nawasilisha.
 
Ukinunua mahindi na kwenda kuyauza unakuwa hujafanya chocjote ila ukinunua ukasaga na kuuza unga hapo un akuwa umefanya kitu.

Mara nyingi hii biashara inataka ujanja ujanja ikiwemo kuchanganya mahindi mazuri na mabovu, au kutumia kipimo kisicho sahihi wakati wa kununua, Na ujanja ujanja huingia kwa sababu bila hivyo hupati pesa na ili upate mafanikio katika biashara hizi ni Bora ukawa unanunua na kuprocess au kuongeza thamani hayao mazao yako.
 
Upo wap? Huku Himo Kilimanjaro kuna soko zuri la kuwauzia wakenya na huu ndio msimu wake
 

Asante ndg,
Hilo soko la unga likoje?Na ni wapi hasa naweza fanya hii biashara ya unga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…