Salaam wakuu,
Nina shamba Morogoro na ni mara ya kwanza nimeanza kulima seriously. Natarajia mwishoni mwa mwezi wa June 2013 nitavuna mahindi. Kwa mahesabu ya haraka haraka natarajia kuvuna approximately 400 bags of maize. Now what is the best (most profitable) way of marketing and disposing the produce i.e. how, where, when?
Naombeni ushauri wenye uzoefu na biashara ya mazao.
Thanx
Nina shamba Morogoro na ni mara ya kwanza nimeanza kulima seriously. Natarajia mwishoni mwa mwezi wa June 2013 nitavuna mahindi. Kwa mahesabu ya haraka haraka natarajia kuvuna approximately 400 bags of maize. Now what is the best (most profitable) way of marketing and disposing the produce i.e. how, where, when?
Naombeni ushauri wenye uzoefu na biashara ya mazao.
Thanx