Hivi hapo Tandale Gunia moja sh ngapi kipindi kama cha mwezi wa September?
Huwezi kupata jibu la swali hili kwa sababu ya Market forces.......Demand & Supply
No fixed price and variation yake ni kubwa sana inaanzia Tzs 66,000 to Tzs 180,000. huwezi ku-project chochote hapo
Heeee!! Mahindi yanafika 180,000???????
Usishangae ndo soko lenyewe hilo.
Uliuliza bei ya Gunia la Mahindi sokoni Tandale kipindi cha mwezi September.
Soko limeshikiliwa na Madalali na ndo wanaopanga bei,mkulima hana nafasi hapo zaidi ya kusubiri mgao wake toka kwa madalali