TAFADHARI WANA JF! NAOMBA KUFAHAMISHWA; NINA HITAJI KURASIMISHA SHUGHULI ZANGU ZA CONSULTANCY! NATAKA KUANZISHA OFISI YANGU, JE IWE KAMA SOLE PROPRIETOR AU LIMITED (PRIVATE) COMPANY? je hatua zake ni zipi-kwa kila moja? ipi nzuri? Asanteni!
Mkuu IPILIMO
-Mara zote kufanya biashara kama Limited Company kunakusaidia kuweza kupata wateja wakubwa maana siku zote utaaminika zaidi kama kampuni.
-Ni rahisi pia kupata mikopo bank ukiwa kama kampuni kuliko ukiwa una-operate kama individual
Kuna faida pia ya kuwa individual consultant (local), ambapo hulipi kodi kwani witholding tax kwenye consultancy fee ni zero (0%)..lakini kwa maoni yangu, unless unataka kuwa mdogo daima...fungua kampuni..ni hayo tu.
ujasema kama hata unao watu wakuingia nao ubia maana as far as i know kwengine duniani private limited has to have more than one shareholder and a certain amount of reserve equity before registered.TAFADHARI WANA JF! NAOMBA KUFAHAMISHWA; NINA HITAJI KURASIMISHA SHUGHULI ZANGU ZA CONSULTANCY! NATAKA KUANZISHA OFISI YANGU, JE IWE KAMA SOLE PROPRIETOR AU LIMITED (PRIVATE) COMPANY? je hatua zake ni zipi-kwa kila moja? ipi nzuri? Asanteni!
amekwambia anae huyo patner/s kabla ujaanza kuuza services zako, worst of his business is centered with proffesional advice, don't these sort of organisation tend to grow as far as patnerships in most cases.Nitafute nitakutengenezea memorunduw & articles of association ya kampuni yako. Then nitakuelekeza kwa msajili pale brela.
ujasema kama hata unao watu wakuingia nao ubia maana as far as i know kwengine duniani private limited has to have more than one shareholder and a certain amount of reserve equity before registered.
sasa hata sijui mtu anaweza kukushauri vipi kwenye upande wa Ltd pasipo na facts nyingi hili uweze sajiliwa in the first place, sometimes ppl need to do a little research for themselves before posing questions at time they just dont make sense.
These things are more strategic and your vision of the company, sasa kama consultant anaomba ushauri huu and he is going to advice businesses, i kind-a feel sorry for your future clients you as their trouble-shooter or advisor.
just realism.
amekwambia anae huyo patner/s kabla ujaanza kuuza services zako, worst of his business is centered with proffesional advice, don't these sort of organisation tend to grow as far as patnerships in most cases.
Nitafute nitakutengenezea memorunduw & articles of association ya kampuni yako. Then nitakuelekeza kwa msajili pale brela.