inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Wadau salam,mimi kabwela "Common man" au msakata tonge nina kausafiri kangu Suzuki Swift second generation ya 2008.Engine yake ni K12B.
Je atf yake ni ipi,najaribu kugoogle nakytana na vitu kama GL 4 n.k.Bado sielewi vizuri.Naombeni msaada wa kuelimisjwa vizuri.Maana nasikia gari nyingime ni T 4 .n.k.
Dip stick yale imevunjika,hivyo sioni maelezo.
Je atf yake ni ipi,najaribu kugoogle nakytana na vitu kama GL 4 n.k.Bado sielewi vizuri.Naombeni msaada wa kuelimisjwa vizuri.Maana nasikia gari nyingime ni T 4 .n.k.
Dip stick yale imevunjika,hivyo sioni maelezo.