Kuwa msomi makini kwa kutumia sarufi kwa ufasihi zaidi, Ukiandika hizo SMS language kwenye jibu lako utanyimwa alama na mhadhiri wako....
Paw
Lol...wifi umemshtukia mwanafunzi anaibia eeh? Aseme alichonacho then tumjazilishie. Anataka kucopy akapestie kwenye daftari la test.Maiga, ilipendeza saana kama walau ungejibu vile uwezavyo then upewe walau mawazo na nyongeza... Sorry kama nakosea BUT naona kama vile haitakusaidia in the long run... Mie nakuahidi ukileta jibu hapa. Nitaongeza kile ambacho ninacho kwa urefu kabisa.
Lol...wifi umemshtukia mwanafunzi anaibia eeh? Aseme alichonacho then tumjazilishie. Anataka kucopy akapestie kwenye daftari la test.
Nje ya mada: mzima wifi yangu kipenzi?
Wakuu nimewaelewa,kwel reference kitu kingne,nimejarbu ku google,il nipate mwanga kidogo maana library duh,hali ni mbaya,ila ngoja namim ning'amue ,kama great thnker whatever'