Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Habari najua hapa kuna mafundi wa magari watanisaidia,
Nina gari Harrier hizi 'Second generation' japo yenyewe ni ya muda kidogo. Kuna kipindi nilisafiri kwa muda kidogo hivyo niliipaki kwa muda.
Baada ya kurudi nilimpa kijana akanisaidi kufanya service, baada ya service taa ya oil iliwaka nilipeleka kwa fundi. Fundi akasema shida ni oil pump nili badili oil pump ya kwanza haikupona fundi akasema inawezekana oil pump tuliofunga sio nzima akaibadilisha tena taa ikagoma kuzima.
Kwa namna fundi nilivyomuona niliona kama ujuzi wake umeishia pale na wala shida sio pump. Basi nikachukua gari yangu nikarudisha nyumbani hivi nnavyozungumza gari ipo nyumbani na haijapona..
Kama kuna fundi mzuri hapa naomba anishauri hapa kisha tuwasiliane anisaidie gari inanipasua kichwa hii..
Asanteni.
Nina gari Harrier hizi 'Second generation' japo yenyewe ni ya muda kidogo. Kuna kipindi nilisafiri kwa muda kidogo hivyo niliipaki kwa muda.
Baada ya kurudi nilimpa kijana akanisaidi kufanya service, baada ya service taa ya oil iliwaka nilipeleka kwa fundi. Fundi akasema shida ni oil pump nili badili oil pump ya kwanza haikupona fundi akasema inawezekana oil pump tuliofunga sio nzima akaibadilisha tena taa ikagoma kuzima.
Kwa namna fundi nilivyomuona niliona kama ujuzi wake umeishia pale na wala shida sio pump. Basi nikachukua gari yangu nikarudisha nyumbani hivi nnavyozungumza gari ipo nyumbani na haijapona..
Kama kuna fundi mzuri hapa naomba anishauri hapa kisha tuwasiliane anisaidie gari inanipasua kichwa hii..
Asanteni.