Msaada: Taa za Toyota Wish New Model hazina mwanga

Msaada: Taa za Toyota Wish New Model hazina mwanga

Joined
Nov 2, 2023
Posts
83
Reaction score
251
Zile taa mnaita beam kwangu usiku hazina mwanga kabisa. Yaani siwezi endesha gari usiku kwa sasa. Maana hazina Mwanga kabisa. Sielewi huyu mdogo wangu yeye alikuwa anatumiaje.

Amesafiri nami nimefika kwake nitakuwa hapa kwa 3 weeks so ni gari ambayo nitaitumia sana kabla sijarudi nchi za watu. Nahitaji kurekebisha hili suala maana mafundi wananichanganya tu. Wananiambia nitumie bulb za watts 10,000 na mwingine ananiambia nibadiliashe lile yai.

Ukiwasha full light ni kali sana imefungwa booster. So siwezi tembelea usiku kabisa.

Nahitaji mwenye uzoefu. Gari ni Toyota Wish New Model 2010.
 
Yaani hivi:

IMG_0667.jpeg
 
Zile taa mnaita beam kwangu usiku hazina mwanga kabisa. Yaani siwezi endesha gari usiku kwa sasa. Maana hazina Mwanga kabisa. Sielewi huyu mdogo wangu yeye alikuwa anatumiaje.

Amesafiri nami nimefika kwake nitakuwa hapa kwa 3 weeks so ni gari ambayo nitaitumia sana kabla sijarudi nchi za watu. Nahitaji kurekebisha hili suala maana mafundi wananichanganya tu. Wananiambia nitumie bulb za watts 10,000 na mwingine ananiambia nibadiliashe lile yai.

Ukiwasha full light ni kali sana imefungwa booster. So siwezi tembelea usiku kabisa.

Nahitaji mwenye uzoefu. Gari ni Toyota Wish New Model 2010.
Itakuwa imechubuka zile lenzi hivyo mwanga unakuwa scattered. nilikuwa na alex ilikuwa na tatizo hilo nikafunga taa za booster lakini ilikuwa haisaidii hasa kama kuna gari lingine nalo limewasha taa linakuja kwa mbele. ilikuwa inanilazimu kutembea nikiwa makini na ule mstari wa katikati ya barabara ili kujua kama niko upande wangu kama haupo napata tabu kweli.
 
Itakuwa imechubuka zile lenzi hivyo mwanga unakuwa scattered. nilikuwa na alex ilikuwa na tatizo hilo nikafunga taa za booster lakini ilikuwa haisaidii hasa kama kuna gari lingine nalo limewasha taa linakuja kwa mbele. ilikuwa inanilazimu kutembea nikiwa makini na ule mstari wa katikati ya barabara ili kujua kama niko upande wangu kama haupo napata tabu kweli.
Sasa unafanyaje
 
Ni LOW BEAM yenye shida. High haina tatizo. Na fog hazipo kwa hii yangu.
Ungekuwa na Fog zingekusaidia sana huwa zinaongeza mwanga ukiwa kwenye Low beam.

Ila mkuu hapa mjini taa za gari nyingi ukipishana nao huwa naona wenzangu wanataa kali kuliko zangu naamanisha inawezekana ziko ok ila sababu unapishana na watu wamefunga taa kali za kisasa hizi unaona zako hazina mwanga
 
Magari mengi yaliyotengenezwa kuanzia 2014 yako vizuri Sana kwenye taa
 
Back
Top Bottom