Wakuu
Mimi nimemaliza chuo kwa ngazi ya cheti (certificate in general agriculture). Nataka kujiunga na chuo kwa ajili ya diploma mwaka huu 2014/15, ila sijui vyuo vinavyotoa hiyo elimu.
Naombeni mwenye kujua chuo cha kilimo ama mifugo ambacho naweza enda kujiendeleza nitashukuru.
Naomben na ada zake kama zinajulikana mniwekee tafadhali.
natanguliza shukran.
Sichagui kiwe cha serikali ama cha binafsi.
Ndechu.