mtoto wa jiran yangu ansoma kidato cha nne katika shule moja ya private, mwezi uliopita amefukuzwa shule kwa kosa la kutoka nje ya shule usiku na kuiba nyanya shamba la jirani. shule inamkatalia kufanya mtihani nae ameshasajiliwa, anauliza afanyeje ili mtoto aweze kufanya mtihani mana usajili umeshafungwa na hawezi kwenda kusajiliwa shule nyengine.