Msaada tafadhali, angalia picha hii

Msaada tafadhali, angalia picha hii

teac kapex

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2011
Posts
470
Reaction score
137
Ndg zangu mafundi naomba msada kuhusu hii gia box, ninapoondoka gia moja, ya pili inapotaka kubadilisha kuingia tatu inajifunga breki, na ikishafanikiwa kuingia inaishia gia tatu, na wakati meingine inafika nne, wakati mwingine inangangania gia no tatu, haibadili hata wakayi wa kuondoka inakuwa tatu hiyo hiyo, tatizo litakuwa ni nini? Naambatanisha picha ya ndani.
Lakini pia hizo solonaid ipi inatumika no moja na ipi ni tano na riverse.
IMG_20190509_150819.jpeg
IMG_20190509_150110.jpeg
 
Duh pole sana, japo mm sio fundi, ila kwa uzoefu ni ngumu sana kukupa ushauri kwa picha hiyo ,
1. hatujajua ni gari gani ? sababu hazifanani

2. Ili angalau kupata jibu ni kwa fundi na tena sio tu mradi fundi angalau yule aliyepata mafunzo mazuri ya theory anayejua kila kimoja kazi yake na jinsi kinavyofanya kazi, japo mafundi wetu wa mitaaani mna ponda/zarau sana Theories haya sasa mkifika hapa mna gota.

3. Naona akili yako yoote inawaza gear box tu, mm nachojua kila kitu kwa sasa kinaongozwa na UBONGO(Control Box/unit) km binadamu ni sawa na kuhangaika na miguu kumbe ni nerve/ brain
 
Shida iliyopo ni kwamba gia zinabadilika badilika wakati fulani zinaingia zote na wakati mwingine inaishia 2 na wakati mwingine inang'ang'ania namba tatu.
 
Uzoefu wangu wa gear box,

Gari tatu now nimemiliki na zote ziliua gear box sababu ya fundi mmoja.

Automatic gear box, ikifa tafuta hela ununue mpya, kuifungua ndani ni uongo utatumia hela utajuta baadae maana utarudi kwa same conclusion kuwa ni bora kununua mpya.

Manual gearbox hii inatengenezeka so just fix it
Ndg zangu mafundi naomba msada kuhusu hii gia box, ninapoondoka gia moja, ya pili inapotaka kubadilisha kuingia tatu inajifunga breki, na ikishafanikiwa kuingia inaishia gia tatu, na wakati meingine inafika nne, wakati mwingine inangangania gia no tatu, haibadili hata wakayi wa kuondoka inakuwa tatu hiyo hiyo, tatizo litakuwa ni nini? Naambatanisha picha ya ndani.
Lakini pia hizo solonaid ipi inatumika no moja na ipi ni tano na riverse.View attachment 1094519View attachment 1094521
 
Back
Top Bottom