Abdallah404
Member
- Feb 17, 2014
- 61
- 21
Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2013 na nina ufaulu wa division II points 18,LAKINI sitaki kwenda advance je ni course gan ya diploma naweza soma(sana course za sayansi)?
ufaulu wangu masomo ya sayansi ni
physics-C
chemistry-B
biology- B+
What is Umaphology? inatolewa wapi course hiyo. Dogo asipende short cut nenda Advance upanue wigo zaidi. Wapo walio kwenda diploma ya civil engineering wakitokea direct kidato cha nne lakini baadae wakajikuta wamejipunguzia uwanja wa kucheza kwenye ajira.Umaphology ita kufaa