young mdogoo
Senior Member
- Oct 9, 2014
- 120
- 21
Nasikia kunauwezekano wa kupandishia master ya facult ambayo hujasoma degree yake, mfano umesoma civil eng then ukachukua master ya computer eng au hata upharmacy kigezo kilichopo ni combination uliyomalizia Advance, naomba ufafanuzi zaidi katika hili wakuu.....!!!!