Msaada tafadhali, huwa napata maumivu makali baada ya tendo la ndoa

Mozu1991

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2013
Posts
500
Reaction score
450
Habar za mda huu wanajamv, naomba msaada....., huwa napata maumivu makal baada ya kumaliza tendo la ndoa , mwenye kufahamu hali hii inasababishwa na nn anisaidie
 
Kama mwanaume kuna mawili unaangalia porn kabla ya kugegeda, au utakuwa ndio kwanza mgeni kwenye mambo ya watu wazima. Kama mwanamke huyo jamaa yako ana muwa(zee la Dindindi) unahitaji Rambo.



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Habar za mda huu wanajamv, naomba msaada....., huwa napata maumivu makal baada ya kumaliza tendo la ndoa , mwenye kufahamu hali hii inasababishwa na nn anisaidie
Jinsia yako ni ipi? Wahi kwa daktari ukapime std's
 
Wabongo bana, badala ya kwenda kwa daktari unakuja jamii forum, ili utukanwe na kukejeliwa.
 
Kuna uwezekano mkubwa ukawa una uambukizo katika via vya uzazi, uambukizi wa bacteria,fungus,U.T.I au una magonjwa ya zinaa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…