Msaada tafadhali..Kichwa kuuma saana.

Msaada tafadhali..Kichwa kuuma saana.

ynyend1

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
73
Reaction score
13
Habari wana JF..
Mke wangu anaumwa sana kichwa tangu jana usiku....
Wiki iliyopita (Ijumaa) alienda hospital kwa ajili ya family planning, akatumia njia ya sindano. Sasa sijui ndo dalili za dawa alizotumia ndo maana kichwa kinauma au kuna tatizo lingine la kiafya.
Kwa wataalam wa mambo haya, please naomba msaada wenu namna ya kumsaidia ili kichwa kitulie!!
Natanguliza shukrani...
 
poleni sana. Mimi si daktari ila ninachoshauri ni muende tena hospitali hasa kwa daktari huyo aliyewapa hizo dawa ili mumueleze tatizo hilo, na kama inahusiana na dawa alizompa basi ambadilishie na kama sio basi itapatikana suluhu nyingine. Mpe pole wifi.
 
poleni sana. Mimi si daktari ila ninachoshauri ni muende tena hospitali hasa kwa daktari huyo aliyewapa hizo dawa ili mumueleze tatizo hilo, na kama inahusiana na dawa alizompa basi ambadilishie na kama sio basi itapatikana suluhu nyingine. Mpe pole wifi.

asante sana dadangu kwa ushauri wako.
 
jaribu kumcheki uyu mtaalam maana me alimsaidia mke wangu
namba zake ni hizi 0715764164
 
Back
Top Bottom