Msaada tafadhali,Kipato cha binti cha mtoa nduki jamaa..!

Huyo jamaa ni aina ya wanaume aliowasema Bishanga,ila sio WANAUME aliowasema Aspirin,huyo jamaa hajiamini kabisa na hafai kuitwa mwanaume,hebu huyo binti akutane na MWANAUME kama mimi,lazima kwa kuunganisha nguvu tungekua na mjengo kama wa NSSF!!

Hapo umemaliza kabisa....:focus:
 

Ni ukweli, wakati mwingine (tena mara nyingi tu) mwanamke anapokuwa juu lazima pawe na utata ingawaje ni kweli pia kwamba mara nyingi utata huo unatokana na infriority complex. Ni mara chache sana kukuta mwanaume akimnyanyasa mke wake kv tu yeye yupo juu kuliko mke wake....lakini mwanamke anapokuwa juu, mnh.....labda ukute mwanamke mwenyewe ni mstaarabu na aliyezoea mazingira ya maisha mazuri!!! Lakini kasomea Nanjilinjili hadi kidato cha sita, kaiona dar wakati anaenda UDSM, katoka hapo kapata kazi mzuri ya kipato kikubwa...hapo ndo lazima umtambue kwamba mwanamke yeyey si kama wanawake wengine!!! Hata hivyo, hofu ya kutawaliwa na mwanamke inatoka zaidi kwa wanaume ambao elimu yao kidogo c ya kutosha na kama ya kutosha bado hajaelimika sawasawa. Wanaume wa aina hii, always wanataka kuwa juu ya mwanamke; wafanye chochote wanachotaka kwa vile tu wao ni wanaume.chochote unachotaka kinawezekana kwa mwanamke ambe tu ni dependent, otherwise kwa independent woman u can't do whatever u want...na hapo ndipo linapoanza tatizo!

ADVICE: Ukiona mwanamke wako ana fedha kuliko wewe nawe ni miongoni mwa wanaume wasiotaka madharau ya wanawake, basi nawe tafuta cha kukuweka juu badala ya kukimbia! Kama yeye ana hela, wewe gombea udiwani; atakuheshimu tu kwavile huwa unaongea na mkuu wa Wilaya kila unapotaka kufanya hivyo! Tafuta ujiko wowote ule hata wa kipuuzi; wanawake bana, wanajijua wao wenyewe!! anaweza kujisikia fahari na kukuheshimu kabisa kwavile tu hapo mtaani kwenu unafahamika kwa kelele za pikipiki yako uliyotoboa nini cjui ile!!!
 

hivi Canta una ruksa maalum kumesema mkasa wa binti hapa jamvini maana sitaki baadaye urudi na manundu usijekosa mume bure! ohoo😛oa
 
Mambo sister lisia? Hii thread imenipita sijui nilikuwa wapi.
Huyo mwanaume hajiamini nukta
 
Tunarudi palepale mkuu, kulingana na maelezo yako hata wewe huamini kuwa mwanamke anaweza akakuzidi mkwanja halafu maisha yakawa poa na ndio maana ukaamua kukomaa ili angalau muwe level sawa.
 
hivi Canta una ruksa maalum kumesema mkasa wa binti hapa jamvini maana sitaki baadaye urudi na manundu usijekosa mume bure! ohoo😛oa

Rafiki ninakusalimu.....hope wewe na your sweet ni wazima. Nimewamiss sana...
 
My dia kapipi co mie bwana!haa haa haa!ningekwambia tu shost tumfungie safari lol!leo cjakuona kbs,umeadimika sn!
Orayt, hata mie naamini siyo wewe. Sasa waweza kutuambia hiyo salary slip inasoma mshahara wa huyo binti ni shingapi vile?
 
Inawezekana kwan kila binadam ana style zake za kufanya maamuzi bila kujali ataonekana kituko au vp,
Ila tu naye ana mapungufu yake na ndio km hv kaacha maswali kibao,
Asante kwa mchango wako mkuu.
 
Jamaa noma...! Mke wako akiteuliwa kuwa Asha-Rose Migiro utamwacha? It's just a matter of logical thinking.

Inategemea unaishi na mke wa aina gani, kuna watu wana power ya kuwaambia wake zao wakubali uteuzi au waukatae kwa hiyo hata kama akiteuliwa na Obama wapo watu wana uwezo wa kuwaambia wake zao waukatae huo uteuzi na hao wake wakatii upoooooo?
 
Tatizo ni kwamba nafasi ya mke na suala zima la haki ni subjective, yaani hakuna standard kwa hiyo namna wewe unavyoiangalia ndoa unaweza kuona ni sawa kabisa mke kuwa level sawa na mume lakini kwa mwingine asione sawa. Na lawyers wengi wa kike ndoa zinawashinda kwa sababu generally wanaume wengi kama sio wote wanaamini kuwa wana mamlaka juu ya mke, kitu ambacho lawyers hawakubali maana wao wanaamini ndoa ni partnership, na hapo ndio tatizo linapoanzia Upooooo?
 
kweli lakini...but mwanaume kuwa sawa sawia na mwanamke mi sidhani kama itafika zama iyo
Tunajua kuwa sawa kwa sawa haitakaa itokee,ila sio kung'ang'ania mfumo dume,
Tupen nafasi na mkubali mabadiliko mbona wadhifa wenu km wanaume utabaki pale pale!
 

Wewe pia ni wale wale tu tofauti ni kuwa unaamini kuwa at some point utakuwa na hela kama huyo mwanamke. Kwa hiyo in principle huamini kama ni sawa mwanamke kumzidi hela mwanaume. Labda nikuulize swali hili, Je kama umejaribu kutafuta hela kwa kadri ya uwezo wako lakini mwisho wa siku mwanamke anazidi kupaa na wewe unazidi kudidimia itakuwaje?? Maana isichukuliwe kuwa kila ndoto unayokuwa nayo lazima itimie.
 
msimseme sana jamani........................mwenzenu kakimbiza ubavu wake bana .............kaona isiwe taabu!
Habari yako mkuu,dah nimefurahi kukuona humu!
Japo sijakuelewa uko upande gani wa mada!
 
Wala hujakosea,
Km ni kudumaa kadumaa kweli kweli!
Kwa akili ya huyu atakimbia tu!
 
hivi Canta una ruksa maalum kumesema mkasa wa binti hapa jamvini maana sitaki baadaye urudi na manundu usijekosa mume bure! ohoo😛oa
Habari yako my Big Shem,
Nina ruhusa zote mkuu,na wala siwezi pigwa kbs,na mume niapata tu,coz my dia kloro keshatangaza nia lol!
 
Mambo sister lisia? Hii thread imenipita sijui nilikuwa wapi.
Huyo mwanaume hajiamini nukta
My sisy najua majukumu tu yalikubana au ulikuwa mitaa yako chit-chat!
Wala hujakosea kbs,coz ana dalilizote za kuwa bado mvulana na hajiamin kbs!
 
Hamna mwanaume hapo anaogopa kipato cha mwanamke? anaweza akaoa mwanamke ambaye haya na akawa hana sauti vilevile na akawa kamwacha huyo mwenye kipato ambaye wangeishi vizuri bila shida.
 
Orayt, hata mie naamini siyo wewe. Sasa waweza kutuambia hiyo salary slip inasoma mshahara wa huyo binti ni shingapi vile?
Shikamoo babu,
Asante kwa kunisaidia coz watu wamening'ang'ania mbaya,
Dah,hili la kuwa salio linasomaje, ngoja nimwombe ruhusa mwenyewe akiniruhusu nitaiweka lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…