Msaada tafadhali kuhusu huu ugonjwa.

kalimanzilajuma

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2017
Posts
323
Reaction score
314
Naombeni kwa mwenye uelewa anisaidie.nateseka sana kuna muda vinawasha sana. Nimeenda hospitali mara kadhaa ila bado sijapata nafuu.mnisaidie ndugu zangu.
 
Spitali walikufanyia vipimo gani?

Na ulitumia dawa gani?
 
Pole sana. Nenda hospital kwa vipimo zaidi, usiende dispensary wala maabara
 
Nilipimwa choo kubwa ,ndogo na damu nikaambiwa ni ugonjwa wa ngozi nikaandikiwa dawa .nikatumia lakini sijafanikiwa .n
 
jaribu kukutana na mtaalamu wa ngozi kbsa naamini utapata msaada.
Pole sanaaa
 
Ndugu zangu mnisaidie ,nategemea sana ushauri wenu .
Mkiona sijibu simu itakuwa imeisha chaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…