Jina lako zuri lakini mawazo ya kitumwa. Uvae kihindi au kiaarabu kwenye harusi yako ili iweje? Kwanini usitangaze utamadani wako wa kitanzania? Ulishaona mhindi amevaa shuka la kimasai hata kama akiwa dukani kwake achilia mbali kwenye harusi yake?[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji35]
Sawa mkuu. We Tangaza utamaduni. Mimi niache nivae kihindi. Natangaza utamaduni for what sasa wakati nchi yangu hata mchakato wa vazi la taifa umefeli.Jina lako zuri lakini mawazo ya kitumwa. Uvae kihindi au kiaarabu wenye harusi yako ili iweje? Kwanini usitangaze utamadani wako wa kitanzania? Ulishaona mhindi amevaa shuka la kimasai hata kama aliwa dukani kwake achilia mbali kwenye harusi yake?
Mkuu mbona na wewe unarudia hicho hicho?kuna baadhi ya wabongo ni waajabu sanaaaa....hivi ww bei zake ukijua itakusaidia nini??????
hivi ww unaacha kufatilia bei ya dona...unafatilia upuuzi wa mtu na life lake..
acha hizo mkuuuu
Na ukitaka yawe magumu fanya kile watu wanachopenda.Sawa mkuu. We Tangaza utamaduni. Mimi niache nivae kihindi. Natangaza utamaduni for what sasa wakati nchi yangu hata mchakato wa vazi la taifa umefeli.
Maisha yanakuwa mazuri pale unapofanya kile moyo unachopenda.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe wanayauza kisutu. Nilekeze vzr mkuu tafadhaliCheki na kina somji wanayauza pale kisutu. Amini nakuambia ukienda kuulizia watajua wewe ni dereva wa mhindi mwenzao na ndiye kakutuma. Tegemea kukutana na swali hili." Kwani hiyo boss yako iko refu, fupi, nene au dogo dogo? Maana wanajua you don't deserve it
Yeah mimi ni muislamKama ni Muslim linafaa sana
nmerudia nn mkuuMkuu mbona na wewe unarudia hicho hicho?
mnazingua nyinyi...msimu huu sio wa kuwaza nguo...msimu wa njaa huuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa hawazi lingine zaidi ya dona. Mbaya zaidi anataka kila mtu awaze dona. Ana stress kweli