Msaada tafadhali kuna kitu kinanisumbua juu ya kutaftana wapenzi

Msaada tafadhali kuna kitu kinanisumbua juu ya kutaftana wapenzi

mugah di matheo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
6,307
Reaction score
12,410
Mambo vipi wapendwa wa love connect?
Leo nimekuja na hoja moja inayotatiza kichwa change
Huwa tunaambiwa kuwa wanaume ni wachache kuliko wanawake , tena wengine wanaenda mbali kusema kuwa ni kama 66% ni wanawake alaf 33% ni wanaume
Je hoja hii ina mashiko kias gani?
Au nimwamini prof Tibaijuka kuwa wanaume na wanawake ni sawa?

Na kwanini kwenye forum kama hizi wanaume ndio wanaotafta Wachumba?
Ilihali formula ya biashara ni kuwa low supply ina increase demand
Si ilitakiwa wanaume tutafutwe?

Msaada tafadhali
 
Mkuu hata nyanya ziwe nyingi vipi haziwezi kuja nyumbani kwako zenyewe, lazima uzifuate ukanunue. Simaanishi wanawake ni kama bidhaa ila mwanaume ameumbwa kutafuta mahusiano kuliko mwanamke.
 
Wanaume wanapenda sex sana;wengi muda mwingi wanawaza ngono... Ni tofauti na wanawake; wao kuna kipindi wanawaza haya masuala ila kuna muda hawana mzuka nayo... Nadhani hapa ndo tulipotofautiana na kupelekea kutokea hali
hiyo.... Maoni yangu tu lakini.
 
Kiukweli katika idadi yote ya wanawake duniani, si kweli kuwa wote wapo available kwaajiri ya mahusiano. Sababu humo ndani ya idadi, kuna wake, za watu, kuna masista, kuna wanawake wazee, kuna watoto wadogo ambao hawaja uka hata miaka14, kuna wanawake wabaya wa sura, kuna wabaya wa maumbile na sura, kuna wanawake, ambao wanamatatizo ya kiafya, kuna wale ambao wamezaa watoto tayari, kuna ambao hawajafika umri wa mahusiano yaani chini ya miaka 14, so sio kweli kuwa idadi ya wanawake ambao ni available na wanavigezo vya asilimia kubwa ya kufanya mahusiano wapo wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata nyanya ziwe nyingi vipi haziwezi kuja nyumbani kwako zenyewe, lazima uzifuate ukanunue. Simaanishi wanawake ni kama bidhaa ila mwanaume ameumbwa kutafuta mahusiano kuliko mwanamke.
Hao wanawake wa wapi walioumbwa hivyo? Please specify your justification.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Kiukweli katika idadi yote ya wanawake duniani, si kweli kuwa wote wapo available kwaajiri ya mahusiano. Sababu humo ndani ya idadi, kuna wake, za watu, kuna masista, kuna wanawake wazee, kuna watoto wadogo ambao hawaja uka hata miaka14, kuna wanawake wabaya wa sura, kuna wabaya wa maumbile na sura, kuna wanawake, ambao wanamatatizo ya kiafya, kuna wale ambao wamezaa watoto tayari, kuna ambao hawajafika umri wa mahusiano yaani chini ya miaka 14, so sio kweli kuwa idadi ya wanawake ambao ni available na wanavigezo vya asilimia kubwa ya kufanya mahusiano wapo wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wanaume pia hakuna wenye vigezo ulivyotaja? Kama ndivyo je tofauti ni ipi? Please consider to be objective and not subjective.

Sent from my SM-N9500 using Tapatalk
 
Kiukweli katika idadi yote ya wanawake duniani, si kweli kuwa wote wapo available kwaajiri ya mahusiano. Sababu humo ndani ya idadi, kuna wake, za watu, kuna masista, kuna wanawake wazee, kuna watoto wadogo ambao hawaja uka hata miaka14, kuna wanawake wabaya wa sura, kuna wabaya wa maumbile na sura, kuna wanawake, ambao wanamatatizo ya kiafya, kuna wale ambao wamezaa watoto tayari, kuna ambao hawajafika umri wa mahusiano yaani chini ya miaka 14, so sio kweli kuwa idadi ya wanawake ambao ni available na wanavigezo vya asilimia kubwa ya kufanya mahusiano wapo wengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂hapo kwenye wabaya wa sura na maumbile utawaudhi watu
 
Back
Top Bottom