Msaada tafadhali;Kuumwa Tumbo chini ya kitovu wakati breed...

Msaada tafadhali;Kuumwa Tumbo chini ya kitovu wakati breed...

kakamukubwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
203
Reaction score
27
Jaman mwenzi wangu anaumwa,Yeye akikaribia siku zake huumwa tumbo mbaya,na hata anapokuwa kwa siku tumbo humuuma sana,kibaya zaidi yeye huenda siku na anapo maliza anaweza kaa siku 3 ikashuka tena..wadau wenye ujuzi huu Msaada tafadhari.
 
Back
Top Bottom