Msaada tafadhali- kwa anaemfahamu specialist mzuri wa macho

Msaada tafadhali- kwa anaemfahamu specialist mzuri wa macho

Mwembeni

Member
Joined
Apr 21, 2011
Posts
51
Reaction score
16
Wadau heshima kwenu, naombeni kwa anemfahamu specialist mzuri wa macho, msaada tafadhali, nina nyama zimeota pembeni ya mboni ya jicho, nilienda CCBRT, walinipatia dawa lakini naona hazijasaidia kitu, ndo natafuta alternative docta
 
Tatizo Ccbrt, sikupenda huduma yao na hii ni mara ya pili nimefika pale
 
Wadau heshima kwenu, naombeni kwa anemfahamu specialist mzuri wa macho, msaada tafadhali, nina nyama zimeota pembeni ya mboni ya jicho, nilienda CCBRT, walinipatia dawa lakini naona hazijasaidia kitu, ndo natafuta alternative docta


yaani vinasumbua kweli vinachomachoma, na ukiwa juani ni balaa
 
Wasiliana eye specialist, ophthalmologist Dr. Gelema H, simu namba 0713747420 anapatikana Msasani ana clinic yake hapo. Pole sana
 
komaa na CCBRT manake hata mie nina matatizo ya macho kwa upande wa kuona mbali, nilizunguka sana clinic mbalimbali za macho lkn sikufanikiwa ila CCBRT walizitahidi kulipungunza tatizo.
 
komaa na CCBRT manake hata mie nina matatizo ya macho kwa upande wa kuona mbali, nilizunguka sana clinic mbalimbali za macho lkn sikufanikiwa ila CCBRT walizitahidi kulipungunza tatizo.

Tatizo hapo siyo uoni hafifu,la hasha ila karib na mboni kuna nyama kidogo inaota na dawa yake ni kufanyiwa operation mm waliniambia, na inasababishwa na miale ya jua pale ccbrt waliniambia hivyo.
Umenipata mkuu
 
Back
Top Bottom