Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Choo kama kina teleza iv cha njanomarenda renda ndio nini
Humu kuna vipimo? Mpelekeo mwanao hospital apimwe na atibiwe kwa mujibu wa vipimo.Mtoto wangu ana miez miwili leo cku ya pili anajisaidia marenda renda mara kwa mara japo Co mengi lakn imekuwa too much, nimpatie dawa gan ili iache hali hiyo? Au ni kawaida nipo njia Panda.
Sawa, Ngoja niwai ospital coz nilihis labda kawaida mana haumwi. Nashkuru mpndwaKienyeji tunasema ni madonda yanafuata mgongo, baada ya muda yataonekana kwa anus. Kama uko mjini wahi hospital. Ila kama upo kijijini waone WAZEE, wana dawa nzuri sana za kiafrika.
Ni choo Chenye mucusmarenda renda ndio nini
Kinasababishwa na nnNi choo Chenye mucus
Kinasababishwa na nn labda naomba kuelewaNi choo Chenye mucus
Nendeni hospitali inawezekana ni infection watoto immune system yao inakuwa taratibu. Hakikisha unaendelea kumnyonyesha asipungukiwe na maji mwilini. Angalia vyakula unavyokula kama unanyonyesha na weka mazingira ya usafi ikiwezekana osha manyo nyo kabla ya kunyonyesha.Kinasababishwa na nn labda naomba kuelewa
AsanteNendeni hospitali inawezekana ni infection watoto immune system yao inakuwa taratibu. Hakikisha unaendelea kumnyonyesha asipungukiwe na maji mwilini. Angalia vyakula unavyokula kama unanyonyesha na weka mazingira ya usafi ikiwezekana osha manyo nyo kabla ya kunyonyesha.
Do malarua[emoji1] [emoji1] [emoji1]hyo mi najuaga ni malaria! mpeleke hosp
Do malarua[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Asante kwa ushaur,1 acha mungegeda shemu kama unagegeda.
2 mwambie shemeji asiwape watu hovyo,kama hao watu wamegegedana bila kuoga wanaleta joto baya wakimkamata mtoto.
3 pia nenda hospital ya serikali ukawaelezee watakupa msaada mtt wetu kipenzi atakua shwali
Aisee hili tatizo kwangu limekuwa sugu,hospitali napima hawaoni kitu,lkn mm nasumbuliwa na hii kitu,Kienyeji tunasema ni madonda yanafuata mgongo, baada ya muda yataonekana kwa anus. Kama uko mjini wahi hospital. Ila kama upo kijijini waone WAZEE, wana dawa nzuri sana za kiafrika.