Msaada tafadhali kwenye tatizo hili

Twissa

Member
Joined
Jul 2, 2014
Posts
30
Reaction score
6
Habari,
Naomba msaada wenu katika hili, kila nikitaka kubadilisha mafuta ya kupaka usoni natokewa na harara nimeuliza kwa baadhi ya watu wananambia ni kawaida eti ngozi ikishazoea hayo mafuta nayotaka kubadilisha harara zitaisha kwahiyo niendelee kupaka hivo hivo naombeni kujua kuna ukweli wowote hapo?
 
Njoo Ofisi zetu za Oriflame tutakupa ushauri juu ya hilo tatizo..piga 0655868643!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…