Msaada tafadhali madaktari

Keben

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
725
Reaction score
175
Niko Arusha. Mamaangu alisafishwa kizazi 2001,na 2010 akawa anaanahisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Akaenda kupima Seliani,akaambiwa anakidonda kwenye mfuko wa kizazi.

Akapewa dawa atumie,lkn dawa hizo zimekuwa zikituliza maumivu siku kadhaa tu,baada ya hapo maumivu hurudi kama kawaida. Naombeni msaada kama unamfahamu mtaalam au kama una dawa zinazoweza kumsaidia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…