Huyo atakuwa sio mpenzi wake! Why amfiche?? Amwulize huenda atakuwa na sababu ya msingi.Wana JF
Nina mshikaji wangu amepata shock baada ya mpenzi wake wa miaka minne kumuona akishiriki miss universe pasipo kumpa taarifa yoyote. Anashangaa tu kumuona kwenye televisheni juzi usiku wakati wa taarifa ya habari. Ameniomba ushauri kwani hajui afanye nini? Kiufupi amekuwa kama amechanganyikiwa
Rose, huyu mshkaji anachanganyikiwa kwani anasema wiki mbili wakati wa likizo ya Pasaka huyo binti alitoka chuoni anasoma mkoani na kuja kwake Dsm na walifurahia maisha. Kiufupi anasema hajui kwanini amefanya hivyokachanganyikiwa nanin?
uyo si mpz wake
...muhusika kamili i mean bfrend MWENYEWE kapewa taaarifa na uenda kampa tafu kdg kwa kumpa pesa ya kujinunulia VIFAA vya kugombea umiss
jamaa atafute demu...ALIZANI YUPO INN KUMBE DADA YUPO OUT KTAAAAAAAAAAMBO....tel hm asichanganyikiwe ni game tu io..ni mchezo tu wanani kapata....nan wa kwanza...ni kawaida sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa bt mpe pole.
atachanganyikiwa na mangap jaman?
AKUBALI HALI...mh mimi mwezenu sjui bado mshamba lakin nikimwona mtu ANAGOMBEA UMISS SJUI UNINI YAAN NAMWONA KAMA si kawaida ivi...ndiyo nachukulia poa bt naona kuna tashwishwi nyingi na kwa research yangu fup niliyofanya nimegundua mtu anayegombea umiss lazma anakua na vielement flan ivi vya...........
mhh kazi kweliWana JF
Nina mshikaji wangu amepata shock baada ya mpenzi wake wa miaka minne kumuona akishiriki miss universe pasipo kumpa taarifa yoyote. Anashangaa tu kumuona kwenye televisheni juzi usiku wakati wa taarifa ya habari. Ameniomba ushauri kwani hajui afanye nini? Kiufupi amekuwa kama amechanganyikiwa
dada Wiselady, mshkaji wangu huyu anasema jana kampigia simu kama mara 5 hivi akapokea mara ya 6 lakini hakutaka kuongea kwa muda. Jamaa alipomuomba kesho yaani leo akamsalimie huyo binti akakataa akasema hawana muda. Ila amefuatilia amegundua kuna muda mzuri tu wa warembo hao kuonana na wagenimh! Wapenzi! Tena wa miaka minne anamficha! Ilibidi huyo miss amshirikishe mpenzie na wakubaliane,vinginevyo mtulize huyo rafiki mwambie aongee na mtu wake ana kwa ana askie anamwambia nini,ila siyo fair na inaleta alama nyingi za ulizo.......
kachanganyikiwa nanin?
uyo si mpz wake
...muhusika kamili i mean bfrend MWENYEWE kapewa taaarifa na uenda kampa tafu kdg kwa kumpa pesa ya kujinunulia VIFAA vya kugombea umiss
jamaa atafute demu...ALIZANI YUPO INN KUMBE DADA YUPO OUT KTAAAAAAAAAAMBO....tel hm asichanganyikiwe ni game tu io..ni mchezo tu wanani kapata....nan wa kwanza...ni kawaida sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa bt mpe pole.
atachanganyikiwa na mangap jaman?
AKUBALI HALI...mh mimi mwezenu sjui bado mshamba lakin nikimwona mtu ANAGOMBEA UMISS SJUI UNINI YAAN NAMWONA KAMA si kawaida ivi...ndiyo nachukulia poa bt naona kuna tashwishwi nyingi na kwa research yangu fup niliyofanya nimegundua mtu anayegombea umiss lazma anakua na vielement flan ivi vya...........
Anatakiwa afurahie kwavile mchumbaake kaoneshwa kwenye TV, sio achanganyikiwe.Wana JF
Nina mshikaji wangu amepata shock baada ya mpenzi wake wa miaka minne kumuona akishiriki miss universe pasipo kumpa taarifa yoyote. Anashangaa tu kumuona kwenye televisheni juzi usiku wakati wa taarifa ya habari. Ameniomba ushauri kwani hajui afanye nini? Kiufupi amekuwa kama amechanganyikiwa
Mkuu klorokwini, kumbuka huyu jamaa alijua mpenziwe yuko chuoni mkoani, amekuwa shocked hakupata taarifa hizo wakati daily wanaongea kwa simuAnatakiwa afurahie kwavile mchumbaake kaoneshwa kwenye TV, sio achanganyikiwe.
dada Wiselady, mshkaji wangu huyu anasema jana kampigia simu kama mara 5 hivi akapokea mara ya 6 lakini hakutaka kuongea kwa muda. Jamaa alipomuomba kesho yaani leo akamsalimie huyo binti akakataa akasema hawana muda. Ila amefuatilia amegundua kuna muda mzuri tu wa warembo hao kuonana na wageni
khaaaa! Kumbe balaa lenyewe ndio hili?Mkuu klorokwini, kumbuka huyu jamaa alijua mpenziwe yuko chuoni mkoani, amekuwa shocked hakupata taarifa hizo wakati daily wanaongea kwa simu
Sapraiz gani unaaga unaenda kigoma kusoma halaf unaonekana kwenye TV na mawigi yako. hii post nimeandika kwa hasira kweliLabda alitaka iwe sapraiz.....
anatakiwa afurahie kwavile mchumbaake kaoneshwa kwenye tv, sio achanganyikiwe.
Hahahahaha!Labda alitaka iwe sapraiz.....